MAHAFALI YA TISA YA TNMC WAUGUZI, WAKUNGA WATABASAMU

Written by

in

Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeandaa Mahafali kwa Wahitimu wote wa Kozi za Uuguzi na Ukunga waliofaulu Mtihani wa Usajili na Leseni uliofanyika tarehe 07/9/2023, Mahafali haya yaliyofanyika katika Ukumbi wa “CATHEDRAL SOCIAL HALL”Jijini-Dodoma
yataambatana na utoaji wa Vyeti vya Usajili na Leseni.